|Rwakatale
Tanzania
Iringa, Tz
HUAWEI MODEM UNLOCKER BY KELLY RWAKATALE
  Write to me
  Email:
 
  Message:
 
 
Languages: Swahili
Native Language:English
Rate:Kelly
Email:kellyrwakatale@gmail.com
inawezekana umenunua modem kupitia moja ya mitandao hapa nchini. Utagundua kwamba huwezi kuitumia modem yako kwenye mitandao mingine mfano: una modem ya zain na unataka kuitumia kwenye mtandao wa zantel, haitakubali. usihofu kwani muda mchache ujao ntakuelekeza jinsi ya kufanya kuiunlock modem yako na itakuwa huru kutumika na mtandao wowote, nimejaribu modem kadhaa na zimekubali.

unahitaji kuwa navitu vifuatavyo;
Lazima uwe na Modem kwanza,
IME:ni number ambazo zinatambulisha modem yako(simu yako)
Software ya ku unlocker Modem(Ambayo inategemea na vision)Kila vision inakuwa na model zake za ku unlocker Kwa maelezo zaidi ya kupata iyo software tafadhari nitumie email (kellyrwakatale@gmail.com) or nipigie 0716512719